Comments

Tazama show ya One Africa Music Fest aliyotumbuiza Diamond hapa

Kwa mara ya kwanza show kubwa inayohusisha wasanii wa Afrika kwenye ukumbi wa Barclays Centre nchini Marekani imefanyika jana. Wasanii waliotumbuiza ni pamoja na Diamond, Wizkid, Davido, Tiwa Savage, Flavour na wengine. Show hiyo ilikuwa ikiruka live kupitia mtandao wa Tidal.
Tidal Bonyeza hapa kuitazama yote.
Share on Google Plus

About MZM

0 comments:

Post a Comment